Eclesiastes 10

SWHONEN

1 Kama vile nzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato,

2 Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume,

3 Hata anapotembea barabarani,

4 Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako,

5 Kuna ubaya niliouona chini ya jua,

6 Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za juu,

7 Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi,

8 Yeye achimbaye shimo

9 Yeyote apasuaye mawe

10 Kama shoka ni butu

11 Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi,

12 Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye hekima

13 Mwanzoni maneno yake ni upumbavu,

14 naye mpumbavu huzidisha maneno.

15 Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe,

16 Ole wako, ee nchi ambayo mfalme wako alikuwa mtumwa

17 Heri wewe, ee nchi ambayo mfalme wako ni wa uzao wenye kuheshimika

18 Kama mtu ni mvivu paa la nyumba huinama,

19 Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,

20 Usimshutumu mfalme hata ikiwa ni katika mawazo yako,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado