1 Wimbo ulio bora wa Solomoni.
2 Unibusu kwa busu la kinywa chako,
3 Manukato yako yananukia vizuri,
4 Nichukue twende nawe, na tufanye haraka!
5 Mimi ni mweusi, lakini napendeza,
6 Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi,
7 Niambie, wewe ambaye ninakupenda,
8 Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote,
9 Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike
10 Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli,
11 Tutakufanyia vipuli vya dhahabu,
12 Wakati mfalme alipokuwa mezani pake,
13 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane
14 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina
15 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!
16 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!
17 Nguzo za nyumba yetu ni mierezi,