Cânticos 2

SWHONEN

1 Mimi ni ua la Sharoni,

2 Kama yungiyungi katikati ya miiba

3 Kama mti wa mtofaa miongoni mwa miti ya msituni

4 Amenichukua mpaka kwenye ukumbi wa karamu,

5 Nitie nguvu kwa zabibu kavu,

6 Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu,

7 Binti za Yerusalemu, ninawaagiza

8 Sikiliza! Mpenzi wangu!

9 Mpenzi wangu ni kama paa au ayala kijana.

10 Mpenzi wangu alizungumza na kuniambia,

11 Tazama! Wakati wa masika umepita,

12 Maua yanatokea juu ya nchi;

13 Mtini unatunga matunda yake ya mwanzoni,

14 Hua wangu penye nyufa za majabali,

15 Tukamatie mbweha,

16 Mpenzi wangu ni wangu, nami ni wake,

17 Mpaka jua linapochomoza,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado