1 Mimi ni ua la Sharoni,
2 Kama yungiyungi katikati ya miiba
3 Kama mti wa mtofaa miongoni mwa miti ya msituni
4 Amenichukua mpaka kwenye ukumbi wa karamu,
5 Nitie nguvu kwa zabibu kavu,
6 Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu,
7 Binti za Yerusalemu, ninawaagiza
8 Sikiliza! Mpenzi wangu!
9 Mpenzi wangu ni kama paa au ayala kijana.
10 Mpenzi wangu alizungumza na kuniambia,
11 Tazama! Wakati wa masika umepita,
12 Maua yanatokea juu ya nchi;
13 Mtini unatunga matunda yake ya mwanzoni,
14 Hua wangu penye nyufa za majabali,
15 Tukamatie mbweha,
16 Mpenzi wangu ni wangu, nami ni wake,
17 Mpaka jua linapochomoza,