1 Mpenzi wako amekwenda wapi,
2 Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,
3 Mimi ni wake mpenzi wangu,
4 Wewe ni mzuri, mpenzi wangu, kama Tirsa,
5 Uyageuze macho yako mbali nami,
6 Meno yako ni kama kundi la kondoo
7 Mashavu yako nyuma ya shela yako
8 Panaweza kuwepo malkia sitini,
9 lakini hua wangu, mkamilifu wangu,
10 Ni nani huyu atokeaye kama mapambazuko,
11 Niliteremka kwenye bustani ya miti ya milozi
12 Kabla sijangʼamua,
13 Rudi, rudi, ee Mshulami;