1 Nimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu,
2 Nililala lakini moyo wangu ulikuwa macho.
3 Nimevua joho langu:
4 Mpenzi wangu aliweka mkono wake kwenye tundu la komeo;
5 Niliinuka kumfungulia mpenzi wangu,
6 Nilimfungulia mpenzi wangu,
7 Walinzi walinikuta
8 Enyi binti za Yerusalemu, ninawaagiza:
9 Je, mpendwa wako ni bora kuliko wengine namna gani,
10 Mpenzi wangu anangʼaa, tena ni mwekundu,
11 Kichwa chake ni dhahabu safi kuliko zote,
12 Macho yake ni kama ya hua
13 Mashavu yake ni kama matuta ya vikolezo
14 Mikono yake ni fimbo za dhahabu
15 Miguu yake ni nguzo za marmar
16 Kinywa chake chenyewe ni utamu,