1 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!
2 Meno yako ni kama kundi la kondoo waliokatwa manyoya sasa hivi,
3 Midomo yako ni kama uzi mwekundu,
4 Shingo yako ni kama mnara wa Daudi,
5 Matiti yako mawili ni kama wana-paa wawili,
6 Hata kupambazuke na vivuli vikimbie,
7 Wewe ni mzuri kote, mpenzi wangu,
8 Enda nami kutoka Lebanoni, bibi arusi wangu,
9 Umeiba moyo wangu, dada yangu, bibi arusi wangu;
10 Tazama jinsi pendo lako linavyofurahisha,
11 Midomo yako inadondosha utamu kama sega la asali,
12 Wewe ni bustani iliyofungwa, dada yangu,
13 Mimea yako ni bustani ya mikomamanga
14 nardo na zafarani,
15 Wewe ni chemchemi ya bustani,
16 Amka, upepo wa kaskazini,