1 Ee binti wa mwana wa mfalme,
2 Kitovu chako ni kama bilauri ya mviringo
3 Matiti yako ni kama wana-paa wawili,
4 Shingo yako ni kama mnara wa pembe ya ndovu.
5 Kichwa chako kinakuvika taji kama mlima Karmeli.
6 Tazama jinsi ulivyo mzuri na unavyopendeza,
7 Umbo lako ni kama la mtende,
8 Nilisema, “Nitakwea mtende,
9 na kinywa chako kama divai
10 Mimi ni mali ya mpenzi wangu,
11 Njoo, mpenzi wangu, twende mashambani,
12 Hebu na twende mapema
13 Mitunguja hutoa harufu zake nzuri,