Cânticos 7

SWHONEN

1 Ee binti wa mwana wa mfalme,

2 Kitovu chako ni kama bilauri ya mviringo

3 Matiti yako ni kama wana-paa wawili,

4 Shingo yako ni kama mnara wa pembe ya ndovu.

5 Kichwa chako kinakuvika taji kama mlima Karmeli.

6 Tazama jinsi ulivyo mzuri na unavyopendeza,

7 Umbo lako ni kama la mtende,

8 Nilisema, “Nitakwea mtende,

9 na kinywa chako kama divai

10 Mimi ni mali ya mpenzi wangu,

11 Njoo, mpenzi wangu, twende mashambani,

12 Hebu na twende mapema

13 Mitunguja hutoa harufu zake nzuri,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado