1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:
2 Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.
3 Wana wa Yuda walikuwa:
4 Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
5 Wana wa Peresi walikuwa:
6 Wana wa Zera walikuwa:
7 Mwana wa Karmi alikuwa:
8 Mwana wa Ethani alikuwa:
9 Wana wa Hesroni walikuwa:
10 Ramu alimzaa
11 Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi,
12 Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.
13 Yese akawazaa
14 wa nne Nethaneli, wa tano Radai,
15 wa sita Osemu, na wa saba Daudi.
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli.
17 Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.
19 Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.
20 Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.
21 Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu.
22 Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi.
23 (Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.
24 Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.
25 Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa:
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.
27 Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa:
28 Wana wa Onamu walikuwa:
29 Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.
30 Wana wa Nadabu walikuwa
31 Apaimu akamzaa:
32 Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa:
33 Wana wa Yonathani walikuwa:
34 Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu.
35 Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.
36 Atai akamzaa Nathani,
37 Zabadi akamzaa Eflali,
38 Obedi akamzaa Yehu,
39 Azaria akamzaa Helesi,
40 Eleasa akamzaa Sismai,
41 Shalumu akamzaa Yekamia,
42 Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa:
43 Hebroni alikuwa na wana wanne:
44 Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai.
45 Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.
46 Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.
47 Wana wa Yadai walikuwa:
48 Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana.
49 Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa.
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu.
51 Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.
52 Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa:
53 pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.
54 Wazao wa Salma walikuwa:
55 pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.