1 Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 Wana wa Noa walikuwa:
5 Wana wa Yafethi walikuwa:
6 Wana wa Gomeri walikuwa:
7 Wana wa Yavani walikuwa:
8 Wana wa Hamu walikuwa:
9 Wana wa Kushi walikuwa:
10 Kushi akamzaa
11 Misraimu akawazaa:
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Wana wa Kanaani walikuwa:
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Wana wa Shemu walikuwa:
18 Arfaksadi akamzaa Shela,
19 Eberi alipata wana wawili:
20 Wana wa Yoktani walikuwa:
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili:
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari:
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa:
33 Wana wa Midiani walikuwa:
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki.
35 Wana wa Esau walikuwa:
36 Wana wa Elifazi walikuwa:
37 Wana wa Reueli walikuwa:
38 Wana wa Seiri walikuwa:
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili:
40 Wana wa Shobali walikuwa:
41 Mwana wa Ana alikuwa:
42 Wana wa Eseri walikuwa:
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli:
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Naye Hadadi pia akafa.
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.