1 Crônicas 3

SWHONEN

1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni:

2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;

3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali;

4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita.

5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu:

6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,

7 Noga, Nefegi, Yafia,

8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.

9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.

10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu,

11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu,

12 mwanawe huyo alikuwa Amazia,

13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi,

14 mwanawe huyo alikuwa Amoni

15 Wana wa Yosia walikuwa:

16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni:

17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka:

18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.

19 Wana wa Pedaya walikuwa:

20 Pia walikuwepo wengine watano:

21 Wazao wa Hanania walikuwa:

22 Wazao wa Shekania:

23 Wana wa Nearia walikuwa:

24 Wana wa Elioenai walikuwa:

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado