1 Neno:
2 pia juu ya Hamathi inayopakana nayo,
3 Tiro amejijengea ngome imara,
4 Lakini Bwana atamwondolea mali zake
5 Ashkeloni ataona hili na kuogopa;
6 Wageni watakalia mji wa Ashdodi,
7 Nitaondoa damu vinywani mwao,
8 Lakini nitailinda nyumba yangu
9 Shangilia sana, ee Binti Sayuni!
10 Nitaondoa magari ya vita kutoka Efraimu
11 Kwako wewe, kwa sababu ya damu ya Agano langu nawe,
12 Rudieni ngome yenu, enyi wafungwa wa tumaini;
13 Nitampinda Yuda kama nipindavyo upinde wangu,
14 Kisha Bwana atawatokea;
15 na Bwana Mwenye Nguvu Zote atawalinda.
16 Bwana Mungu wao atawaokoa siku hiyo
17 Jinsi gani watavutia na kuwa wazuri!