1 Mwombeni Bwana mvua wakati wa vuli;
2 Sanamu huzungumza udanganyifu,
3 “Hasira yangu inawaka dhidi ya wachungaji,
4 Kutoka Yuda litatokea Jiwe la pembeni,
5 Kwa pamoja watakuwa kama mashujaa
6 “Nitaiimarisha nyumba ya Yuda
7 Waefraimu watakuwa kama mashujaa,
8 Nitawaashiria na kuwakusanya ndani.
9 Ijapokuwa niliwatawanya miongoni mwa mataifa,
10 Nitawarudisha kutoka Misri
11 Watapita katika bahari ya mateso;
12 Nitawaimarisha katika Bwana,