1 Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi!
2 Wengi wanasema juu yangu,
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote;
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu,
5 Ninajilaza na kupata usingizi;
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui,
7 Ee Bwana, amka!
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana.