1 Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya,
2 Wafalme wa dunia wanajipanga
3 Wanasema, “Tuvunje minyororo yao
4 Yeye atawalaye mbinguni hucheka,
5 Kisha huwakemea katika hasira yake
6 “Nimemtawaza Mfalme wangu
7 Nitatangaza amri ya Bwana:
8 Niombe, nami nitayafanya mataifa
9 Utawatawala kwa fimbo ya chuma
10 Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima;
11 Mtumikieni Bwana kwa hofu
12 Mbusu Mwana, asije akakasirika