Salmos 24

SWHONEN

1 Dunia ni mali ya Bwana, na vyote vilivyomo ndani yake,

2 maana aliiwekea misingi yake baharini

3 Nani awezaye kuupanda mlima wa Bwana?

4 Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe,

5 Huyo atapokea baraka kutoka kwa Bwana,

6 Hiki ndicho kizazi cha wale wamtafutao,

7 Inueni vichwa vyenu, enyi malango,

8 Ni nani huyu Mfalme wa utukufu?

9 Inueni vichwa vyenu, enyi malango,

10 Ni nani yeye, huyu Mfalme wa utukufu?

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado