1 Dunia ni mali ya Bwana, na vyote vilivyomo ndani yake,
2 maana aliiwekea misingi yake baharini
3 Nani awezaye kuupanda mlima wa Bwana?
4 Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe,
5 Huyo atapokea baraka kutoka kwa Bwana,
6 Hiki ndicho kizazi cha wale wamtafutao,
7 Inueni vichwa vyenu, enyi malango,
8 Ni nani huyu Mfalme wa utukufu?
9 Inueni vichwa vyenu, enyi malango,
10 Ni nani yeye, huyu Mfalme wa utukufu?