Salmos 16

SWHONEN

1 Ee Mungu, uniweke salama,

2 Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu;

3 Kwa habari ya watakatifu walioko duniani,

4 Huzuni itaongezeka kwa wale

5 Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu;

6 Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri,

7 Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri,

8 Nimemweka Bwana mbele yangu daima.

9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia;

10 kwa maana hutaniacha kaburini,

11 Umenijulisha njia ya uzima;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado