1 Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu.
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,
4 Lakini kwako kuna msamaha,
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea,
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana,
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli