Salmos 130

SWHONEN

1 Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.

2 Ee Bwana, sikia sauti yangu.

3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,

4 Lakini kwako kuna msamaha,

5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea,

6 Nafsi yangu inamngojea Bwana

7 Ee Israeli, mtumaini Bwana,

8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado