1 Wamenionea mno tangu ujana wangu;
2 wamenionea mno tangu ujana wangu,
3 Wakulima wamelima mgongo wangu,
4 Lakini Bwana ni mwenye haki;
5 Wale wote waichukiao Sayuni
6 Wawe kama majani juu ya paa,
7 kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,
8 Wale wapitao karibu na wasiseme,