Salmos 129

SWHONEN

1 Wamenionea mno tangu ujana wangu;

2 wamenionea mno tangu ujana wangu,

3 Wakulima wamelima mgongo wangu,

4 Lakini Bwana ni mwenye haki;

5 Wale wote waichukiao Sayuni

6 Wawe kama majani juu ya paa,

7 kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,

8 Wale wapitao karibu na wasiseme,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado