Salmos 13

SWHONEN

1 Mpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele?

2 Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini,

3 Nitazame, unijibu, Ee Bwana Mungu wangu.

4 Adui yangu atasema, “Nimemshinda,”

5 Lakini ninategemea upendo wako usiokoma;

6 Nitamwimbia Bwana,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado