1 Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;
2 Kila mmoja humwambia jirani yake uongo;
3 Bwana na akatilie mbali midomo yote ya hila
4 ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda;
5 “Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge
6 Maneno ya Bwana ni safi,
7 Ee Bwana, utatuweka salama
8 Watu waovu huenda wakiringa kila mahali