1 Nilishangilia pamoja na wale walioniambia,
2 Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama
3 Yerusalemu imejengwa vyema kama mji
4 Huko ndiko makabila hukwea,
5 Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa,
6 Omba kwa ajili ya amani ya Yerusalemu:
7 Amani na iwepo ndani ya kuta zako
8 Kwa ajili ya ndugu zangu na marafiki,
9 Kwa ajili ya nyumba ya Bwana Mungu wetu,