1 Nayainua macho yangu nitazame vilima,
2 Msaada wangu hutoka kwa Bwana,
3 Hatauacha mguu wako uteleze,
4 hakika, yeye alindaye Israeli
5 Bwana anakulinda,
6 jua halitakudhuru mchana,
7 Bwana atakukinga na madhara yote,
8 Bwana atakulinda unapoingia na unapotoka,