1 Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema;
2 Israeli na aseme sasa:
3 Nyumba ya Aroni na iseme sasa:
4 Wote wamchao Bwana na waseme sasa:
5 Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana,
6 Bwana yuko pamoja nami, sitaogopa.
7 Bwana yuko pamoja nami,
8 Ni bora kumkimbilia Bwana
9 Ni bora kumkimbilia Bwana
10 Mataifa yote yalinizunguka,
11 Walinizunguka pande zote,
12 Walinizunguka kama kundi la nyuki,
13 Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka,
14 Bwana ni nguvu yangu na wimbo wangu,
15 Sauti za shangwe na ushindi
16 Mkono wa kuume wa Bwana
17 Sitakufa, bali nitaishi,
18 Bwana ameniadhibu vikali,
19 Nifungulie malango ya haki,
20 Hili ni lango la Bwana
21 Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu,
22 Jiwe walilolikataa waashi,
23 Bwana ametenda hili,
24 Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya,
25 Ee Bwana, tuokoe,
26 Heri yule ajaye kwa jina la Bwana.
27 Bwana ndiye Mungu,
28 Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru,
29 Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema;