1 Kwa nini, Ee Bwana, unasimama mbali?
2 Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini,
3 Hujivunia tamaa za moyo wake;
4 Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu,
5 Njia zake daima hufanikiwa;
6 Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa,
7 Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho;
8 Huvizia karibu na vijiji;
9 Huvizia kama simba aliye mawindoni;
10 Mateka wake hupondwa, huzimia;
11 Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau,
12 Inuka Bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu.
13 Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?
14 Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,
15 Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya,
16 Bwana ni Mfalme milele na milele,
17 Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa,
18 ukiwatetea yatima na walioonewa,