1 “Wakati huo, nitakuwa Mungu wa koo zote za Israeli nao watakuwa watu wangu,” asema Bwana.
2 Hili ndilo asemalo Bwana:
3 Bwana alitutokea wakati uliopita, akisema:
4 Nitakujenga tena nawe utajengeka upya,
5 Utapanda tena shamba la mizabibu
6 Itakuja siku wakati walinzi watakapowapigia kelele
7 Hili ndilo asemalo Bwana:
8 Tazama, nitawaleta kutoka nchi ya kaskazini
9 Watakuja wakilia;
10 “Sikieni neno la Bwana, enyi mataifa,
11 Kwa kuwa Bwana atamlipia fidia Yakobo
12 Watakuja na kupiga kelele kwa furaha katika miinuko ya Sayuni;
13 Kisha wanawali watacheza na kufurahi,
14 Nitawashibisha makuhani kwa wingi,
15 Hili ndilo asemalo Bwana:
16 Hili ndilo asemalo Bwana:
17 Kwa hiyo kuna tumaini kwa siku zijazo,”
18 “Hakika nimeyasikia maombolezo ya Efraimu:
19 Baada ya kupotea, nilitubu;
20 Je, Efraimu si mwanangu mpendwa,
21 “Weka alama za barabara,
22 Utatangatanga hata lini,
23 Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo, “Nitakapowarudisha toka nchi ya kutekwa kwenu, watu walio katika nchi ya Yuda na miji yake kwa mara nyingine tena watatumia maneno haya: ‘Bwana akubariki, ee makao ya haki, ee mlima mtakatifu.’
24 Watu wataishi pamoja katika Yuda na miji yake yote, wakulima na wote wanaohamahama na mifugo yao.
25 Nitawaburudisha waliochoka na kuwatuliza walio na huzuni.”
26 Kwa jambo hili niliamka na kuangalia pande zote. Usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.
27 Bwana asema, “Siku zinakuja, nitakapoongeza idadi ya watu, na kuzidisha hesabu ya mifugo katika nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.
28 Kama vile nilivyowaangalia ili kungʼoa na kubomoa, kuharibu, kuangamiza na kuleta maafa juu yao, vivyo hivyo nitawaangalia ili kujenga na kupanda,” asema Bwana.
29 “Katika siku hizo, watu hawatasema tena,
30 Badala yake, kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe; yeyote alaye zabibu chachu, meno yake mwenyewe yatatiwa ganzi.
31 “Siku zinakuja,” asema Bwana,
32 Halitafanana na agano
33 “Hili ndilo agano nitakalofanya na nyumba ya Israeli
34 Mtu hatamfundisha tena jirani yake,
35 Hili ndilo asemalo Bwana,
36 “Ikiwa amri hizi zitaondoka machoni pangu,”
37 Hili ndilo asemalo Bwana:
38 “Siku zinakuja,” asema Bwana, “wakati mji huu utajengwa upya kwa ajili yangu, kuanzia mnara wa Hananeli hadi Lango la Pembeni.
39 Kamba ya kupimia itaanzia hapo kuendelea hadi kwenye kilima cha Garebu, na kisha kugeuka kuelekea Goa.
40 Bonde lote watupwapo maiti na majivu pia na matuta yote kutoka Bonde la Kidroni upande wa mashariki hadi pembe ya Lango la Farasi, itakuwa takatifu kwa Bwana. Kamwe mji huu hautangʼolewa tena wala kubomolewa.”