Jeremias 30

SWHONEN

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana:

2 “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Andika katika kitabu maneno yote niliyonena na wewe.

3 Siku zinakuja,’ asema Bwana, ‘nitakapowaleta watu wangu Israeli na Yuda kutoka uhamishoni, na kuwarudisha katika nchi niliyowapa baba zao ili kuimiliki,’ asema Bwana.”

4 Haya ndiyo maneno Bwana aliyoyanena kuhusu Israeli na Yuda:

5 “Hili ndilo asemalo Bwana:

6 Ulizeni na mkaone:

7 Tazama jinsi ile siku itakavyokuwa ya kutisha!

8 “ ‘Katika siku ile,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote,

9 Badala yake, watamtumikia Bwana, Mungu wao

10 “ ‘Hivyo usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,

11 Mimi niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,’

12 “Hili ndilo asemalo Bwana:

13 Hakuna yeyote wa kukutetea shauri lako,

14 Wale walioungana nawe wote wamekusahau,

15 Kwa nini unalia kwa ajili ya jeraha lako,

16 “ ‘Lakini watu wote wakuangamizao wataangamizwa;

17 Lakini nitakurudishia afya yako

18 “Hili ndilo asemalo Bwana:

19 Nyimbo za kushukuru zitatoka kwao

20 Watoto wao watakuwa kama walivyokuwa

21 Mmoja wao atakuwa kiongozi wao;

22 ‘Kwa hiyo ninyi mtakuwa watu wangu,

23 Tazama, tufani ya Bwana

24 Hasira kali ya Bwana haitarudi nyuma

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado