1 Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:
2 “Je, maneno haya yote yapite bila kujibiwa?
3 Je, maneno yako ya upuzi yawafanye watu wanyamaze kimya?
4 Unamwambia Mungu, ‘Imani yangu ni kamili
5 Aha! Laiti kwamba Mungu angesema,
6 naye akufunulie siri za hekima,
7 “Je, waweza kujua siri za Mungu?
8 Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini?
9 Kipimo chake ni kirefu kuliko dunia,
10 “Kama akija na kukufunga gerezani,
11 Hakika anawatambua watu wadanganyifu;
12 Mpumbavu aweza kuwa mwenye hekima,
13 “Hata sasa ukiutoa moyo wako kwake
14 ukiiondolea mbali ile dhambi iliyo mkononi mwako
15 ndipo utainua uso wako bila aibu;
16 Hakika utaisahau taabu yako,
17 Maisha yako yatangʼaa kuliko adhuhuri,
18 Utakuwa salama, kwa kuwa lipo tumaini;
19 Utalala, wala hakuna atakayekuogofya,
20 Bali macho ya waovu hayataona,