Jó 11

SWHONEN

1 Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:

2 “Je, maneno haya yote yapite bila kujibiwa?

3 Je, maneno yako ya upuzi yawafanye watu wanyamaze kimya?

4 Unamwambia Mungu, ‘Imani yangu ni kamili

5 Aha! Laiti kwamba Mungu angesema,

6 naye akufunulie siri za hekima,

7 “Je, waweza kujua siri za Mungu?

8 Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini?

9 Kipimo chake ni kirefu kuliko dunia,

10 “Kama akija na kukufunga gerezani,

11 Hakika anawatambua watu wadanganyifu;

12 Mpumbavu aweza kuwa mwenye hekima,

13 “Hata sasa ukiutoa moyo wako kwake

14 ukiiondolea mbali ile dhambi iliyo mkononi mwako

15 ndipo utainua uso wako bila aibu;

16 Hakika utaisahau taabu yako,

17 Maisha yako yatangʼaa kuliko adhuhuri,

18 Utakuwa salama, kwa kuwa lipo tumaini;

19 Utalala, wala hakuna atakayekuogofya,

20 Bali macho ya waovu hayataona,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado