1 “Piga kelele, usizuie.
2 Kwa maana kila siku hunitafuta,
3 Wao husema, ‘Mbona tumefunga, nawe hujaona?
4 Kufunga kwenu huishia kwenye magomvi na mapigano,
5 Je, hii ndiyo aina ya mfungo niliouchagua,
6 “Je, hii si ndiyo aina ya mfungo niliyoichagua:
7 Je, sio kushirikiana chakula chako na wenye njaa
8 Ndipo nuru yako itajitokeza kama mapambazuko
9 Ndipo utaita, naye Bwana atajibu,
10 nanyi kama mkimkunjulia mtu mwenye njaa nafsi zenu
11 Bwana atakuongoza siku zote,
12 Watu wako watajenga tena magofu ya zamani
13 “Kama ukitunza miguu yako isivunje Sabato,
14 ndipo utakapojipatia furaha yako katika Bwana,