1 Jangwa na nchi kame vitafurahi;
2 litachanua maua,
3 Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu,
4 waambieni wale wenye mioyo ya hofu,
5 Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa
6 Ndipo kilema atarukaruka kama kulungu,
7 Mchanga wa moto utakuwa bwawa la maji,
8 Nako kutakuwa na njia kuu,
9 Huko hakutakuwepo na simba,
10 waliokombolewa na Bwana watarudi.