1 Nikatazama tena nikaona uonevu wote uliokuwa unafanyika chini ya jua:
2 Nami nikasema kwamba wafu,
3 Lakini aliye bora kuliko hao wawili
4 Tena nikaona kuwa kazi zote na mafanikio yote huchipuka kutokana na wivu wa mtu kwa jirani yake. Hili nalo ni ubatili, ni kukimbiza upepo.
5 Mpumbavu hukunja mikono yake
6 Afadhali konzi moja pamoja
7 Tena nikaona kitu kingine kilicho ubatili chini ya jua:
8 Kulikuwepo mwanadamu aliye peke yake,
9 Wawili ni afadhali kuliko mmoja,
10 Kama mmoja akianguka,
11 Pia, kama wawili wakilala pamoja
12 Ingawa mtu mmoja aweza kushindwa,
13 Afadhali kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.
14 Kijana huyo angeweza kutokea gerezani akapata ufalme, au angeweza kuwa amezaliwa katika umaskini kwenye huo ufalme.
15 Nikaona kwamba wote walioishi na kutembea chini ya jua walimfuata kijana, aliyepokea ufalme.
16 Hapakuwa na kikomo cha watu wote aliowatawala. Lakini wale waliokuja baadaye hawakufurahia kazi ya yule aliyepokea ufalme. Hili nalo pia ni ubatili, ni kukimbiza upepo.