Deuteronômio 33

SWHONEN

1 Hii ndiyo baraka Mose mtu wa Mungu aliyotamka kwa Waisraeli kabla ya kifo chake.

2 Alisema:

3 Hakika ni wewe ambaye huwapenda watu,

4 sheria ile Mose aliyotupa sisi,

5 Alikuwa mfalme juu ya Yeshuruni

6 “Reubeni na aishi, asife,

7 Akasema hili kuhusu Yuda:

8 Kuhusu Lawi alisema:

9 Alinena hivi kuhusu baba yake na mama yake,

10 Humfundisha Yakobo mausia yako

11 Ee Bwana, bariki ustadi wake wote,

12 Kuhusu Benyamini akasema:

13 Kuhusu Yosefu akasema:

14 pamoja na vitu vilivyo bora sana

15 pamoja na zawadi bora sana

16 pamoja na baraka nzuri mno

17 Katika fahari yeye ni kama fahali mzaliwa wa kwanza;

18 Kuhusu Zabuloni akasema:

19 Watawaita mataifa kwenye mlima,

20 Kuhusu Gadi akasema:

21 Alijichagulia nchi nzuri kuliko zote

22 Kuhusu Dani akasema:

23 Kuhusu Naftali akasema:

24 Kuhusu Asheri akasema:

25 Makomeo ya malango yako yawe chuma na shaba,

26 “Hakuna mwingine kama Mungu wa Yeshuruni,

27 Mungu wa milele ni kimbilio lako,

28 Hivyo Israeli ataishi salama peke yake.

29 Ee Israeli, wewe umebarikiwa!

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado