Deuteronômio 32

SWHONEN

1 Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema;

2 Mafundisho yangu na yanyeshe kama mvua,

3 Nitalitangaza jina la Bwana.

4 Yeye ni Mwamba, kazi zake ni kamilifu,

5 Wamefanya mambo ya upotovu mbele zake;

6 Je, hii ndiyo njia ya kumlipa Bwana,

7 Kumbuka siku za kale;

8 Aliye Juu Sana alipowapa mataifa urithi wao,

9 Kwa kuwa fungu la Bwana ni watu wake,

10 Katika nchi ya jangwa alimkuta,

11 kama tai avurugaye kiota chake,

12 Bwana peke yake alimwongoza;

13 Akamfanya apande sehemu zilizoinuka za nchi,

14 kwa jibini na maziwa kutoka makundi ya ngʼombe

15 Yeshuruni alinenepa na kupiga teke;

16 Wakamfanya Mungu kuwa na wivu kwa miungu yao migeni,

17 Wakatoa dhabihu kwa pepo, ambao si Mungu:

18 Mkamwacha Mwamba, aliyewazaa ninyi;

19 Bwana akaona hili, akawakataa,

20 Akasema, “Nitawaficha uso wangu,

21 Wamenifanya niwe na wivu

22 Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu,

23 “Nitalundika majanga juu yao

24 Nitatuma njaa kali dhidi yao maradhi mabaya,

25 Barabarani upanga utawakosesha watoto;

26 Nilisema ningewatawanya

27 Lakini nilihofia dhihaka za adui,

28 Wao ni taifa lisilo na akili,

29 Laiti wangekuwa na hekima wangefahamu hili,

30 Mtu mmoja angewezaje kufukuza elfu moja,

31 Kwa kuwa mwamba wao si kama Mwamba wetu,

32 Mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa Sodoma,

33 Mvinyo wao ni sumu ya nyoka,

34 “Je, hili sikuliweka akiba

35 Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza.

36 Bwana atawahukumu watu wake,

37 Atasema: “Sasa iko wapi miungu yao,

38 miungu wale waliokula mafuta ya dhabihu zao

39 “Tazama basi, Mimi mwenyewe, Mimi Ndiye!

40 Ninainua mkono wangu kuelekea mbinguni na kusema:

41 wakati ninapounoa upanga wangu unaometameta

42 Nitailevya mishale yangu kwa damu,

43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,

44 Mose na Yoshua mwana wa Nuni wakaja, wakanena maneno yote ya wimbo watu wakiwa wanasikia.

45 Mose alipomaliza kuyasoma maneno haya yote kwa Israeli wote,

46 akawaambia, “Yawekeni moyoni maneno yote ambayo nimewatangazia kwa makini siku hii ya leo, ili kwamba mpate kuwaagiza watoto wenu wayatii kwa bidii maneno yote ya sheria hii.

47 Siyo maneno matupu tu kwenu, bali ni uzima wenu. Kwa hayo mtaishi maisha marefu katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.”

48 Siku hiyo hiyo Bwana akamwambia Mose,

49 “Kwea katika mapangano ya Mlima Abarimu hadi kilima cha Nebo kilichoko Moabu, ngʼambo ya Yeriko, na uitazame Kanaani, nchi ninayowapa Waisraeli kama milki yao wenyewe.

50 Utafia kwenye mlima huo unaokwea na kukusanyika pamoja na watu wako, kama ndugu yako Aroni alivyofia juu ya Mlima Hori naye akakusanyika kwa watu wake.

51 Hii ni kwa sababu ninyi wawili mlivunja uaminifu nami mbele ya Waisraeli kwenye maji ya Meriba-Kadeshi katika Jangwa la Sini, na kwa sababu hamkuuinua utakatifu wangu miongoni mwa Waisraeli.

52 Kwa hiyo, utaiona tu nchi kwa mbali; wewe hutaingia nchi ninayowapa watu wa Israeli.”

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado