Amós 6

SWHONEN

1 Ole wenu ninyi mnaostarehe na kuridhika katika Sayuni,

2 Nendeni Kalne mkaone kutoka huko;

3 Mnaiweka mbali siku iliyo mbaya

4 Ninyi mnalala juu ya vitanda vilivyofunikwa kwa pembe za ndovu,

5 Ninyi mnapiga vinubi kama Daudi,

6 Mnakunywa mvinyo kwa bakuli zilizojazwa,

7 Kwa hiyo mtakuwa miongoni mwa watu wa kwanza kwenda uhamishoni;

8 Bwana Mwenyezi ameapa kwa nafsi yake mwenyewe: Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asema:

9 Kama watu kumi watabaki katika nyumba moja, wao pia watakufa.

10 Kama jamaa ambaye atachoma miili akija ili kuitoa nje ya nyumba, na kumuuliza yeyote ambaye bado anajificha humo, “Je, yuko mtu yeyote pamoja nawe?” Naye akisema, “Hapana,” ndipo atakaposema, “Nyamaza kimya! Haturuhusiwi kutaja jina la Bwana.”

11 Kwa kuwa Bwana ameamuru,

12 Je, farasi waweza kukimbia kwenye miamba mikali?

13 ninyi mnaoshangilia kushindwa kwa Lo-Debari

14 Maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asema,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado