1 Sikia neno hili, ee nyumba ya Israeli, ombolezo hili ninalifanya kuwahusu ninyi:
2 “Bikira Israeli ameanguka,
3 Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:
4 Hili ndilo Bwana asemalo kwa nyumba ya Israeli:
5 msitafute Betheli,
6 Mtafuteni Bwana mpate kuishi,
7 Ninyi ambao mnageuza haki kuwa uchungu
8 (yeye ambaye alifanya Kilimia na Orioni,
9 yeye hufanya maangamizo kwenye ngome
10 mnamchukia yule akemeaye mahakamani,
11 Mnamgandamiza maskini
12 Kwa kuwa ninajua hesabu ya makosa yenu
13 Kwa hiyo mtu mwenye busara hunyamaza kimya nyakati kama hizo,
14 Tafuteni mema, wala si mabaya,
15 Yachukieni maovu, yapendeni mema;
16 Kwa hiyo hili ndilo Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, asemalo:
17 Kutakuwepo kuomboleza katika mashamba yote ya mizabibu,
18 Ole wenu ninyi mnaoitamani
19 Itakuwa kama vile mtu aliyemkimbia simba
20 Je, siku ya Bwana haitakuwa giza, na si nuru:
21 “Ninachukia, ninazidharau sikukuu zenu za dini;
22 Hata ingawa mnaniletea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka za nafaka,
23 Niondoleeni kelele za nyimbo zenu!
24 Lakini acheni haki itiririke kama mto,
25 “Je, mliniletea dhabihu na sadaka
26 Mmeyainua madhabahu ya mfalme wenu,
27 Kwa sababu hiyo nitawapeleka uhamishoni mbali kupita Dameski,”