1 Crônicas 7

SWHONEN

1 Wana wa Isakari walikuwa:

2 Wana wa Tola walikuwa:

3 Mwana wa Uzi alikuwa:

4 Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.

5 Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.

6 Wana watatu wa Benyamini walikuwa:

7 Wana wa Bela walikuwa:

8 Wana wa Bekeri walikuwa:

9 Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.

10 Mwana wa Yediaeli alikuwa:

11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.

12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.

13 Wana wa Naftali walikuwa:

14 Wana wa Manase walikuwa:

15 Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.

16 Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.

17 Mwana wa Ulamu alikuwa:

18 Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.

19 Wana wa Shemida walikuwa:

20 Wana wa Efraimu walikuwa:

21 Tahathi akamzaa Zabadi,

22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.

23 Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.

24 Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.

25 Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu,

26 Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi,

27 Elishama akamzaa Nuni,

28 Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.

29 Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.

30 Wana wa Asheri walikuwa:

31 Wana wa Beria walikuwa:

32 Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.

33 Wana wa Yafleti walikuwa:

34 Wana wa Shemeri walikuwa:

35 Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa:

36 Wana wa Sofa walikuwa:

37 Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.

38 Wana wa Yetheri walikuwa:

39 Wana wa Ula walikuwa:

40 Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado