1 Ee Bwana, mkumbuke Daudi
2 Aliapa kiapo kwa Bwana
3 “Sitaingia nyumbani mwangu
4 sitaruhusu usingizi katika macho yangu,
5 mpaka nitakapompatia Bwana mahali,
6 Tulisikia habari hii huko Efrathi,
7 “Twendeni kwenye makao yake,
8 inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia,
9 Makuhani wako na wavikwe haki,
10 Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako,
11 Bwana alimwapia Daudi kiapo,
12 kama wanao watashika Agano langu
13 Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni,
14 “Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele;
15 Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele:
16 Nitawavika makuhani wake wokovu,
17 “Hapa nitamchipushia Daudi pembe,
18 Adui zake nitawavika aibu,