1 kila mara nilipotaka kumponya Israeli,
2 lakini hawafahamu kwamba
3 “Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao,
4 Wote ni wazinzi,
5 Katika sikukuu ya mfalme wetu
6 Mioyo yao ni kama tanuru,
7 Wote ni moto kama tanuru;
8 “Efraimu anajichanganya na mataifa;
9 Wageni wananyonya nguvu zake,
10 Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yake,
11 “Efraimu ni kama hua,
12 Wakati watakapokwenda,
13 Ole wao, kwa sababu
14 Hawanililii mimi kutoka mioyoni mwao,
15 Niliwafundisha na kuwatia nguvu,
16 Hawamgeukii Yeye Aliye Juu Sana,