1 Sikieni neno la Bwana, enyi Waisraeli,
2 Kuna kulaani tu, uongo na uuaji,
3 Kwa sababu hii nchi huomboleza,
4 “Lakini mtu awaye yote na asilete shtaka,
5 Unajikwaa usiku na mchana,
6 watu wangu wanaangamizwa
7 Kadiri makuhani walivyoongezeka,
8 Hujilisha dhambi za watu wangu
9 Hata itakuwa: Kama walivyo watu,
10 “Watakula lakini hawatashiba;
11 katika ukahaba,
12 wa watu wangu.
13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima
14 “Sitawaadhibu binti zenu wakati
15 “Ingawa umefanya uzinzi, ee Israeli,
16 Waisraeli ni wakaidi,
17 Efraimu amejiunga na sanamu,
18 Hata wakati wamemaliza vileo vyao
19 Kisulisuli kitawafagilia mbali