1 “Waambie ndugu zako, ‘Watu wangu,’ na pia waambie dada zako, ‘Wapendwa wangu.’
2 “Mkemeeni mama yenu, mkemeeni,
3 Kama sivyo nitamvua nguo zake awe uchi
4 Sitaonyesha upendo wangu kwa watoto wake,
5 Mama yao amekosa uaminifu
6 Kwa hiyo mimi Mungu nitaizuia njia yake
7 Gomeri atawafuatia wapenzi wake lakini hatawapata;
8 Gomeri hajakubali kuwa mimi ndiye
9 “Kwa hiyo nitachukua nafaka yangu wakati itakapokomaa
10 Basi sasa nitaufunua ufisadi wake
11 Nitakomesha furaha na macheko yake yote:
12 Nitaiharibu mizabibu yake na mitini yake,
13 Nitamwadhibu kwa ajili ya siku
14 “Kwa hiyo sasa nitamshawishi;
15 Huko nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu,
16 “Katika siku ile,” asema Bwana,
17 Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka midomoni mwake,
18 Katika siku ile nitafanya Agano kwa ajili yao
19 Nitakuposa uwe wangu milele;
20 Nitakuposa kwa uaminifu,
21 “Katika siku ile nitajibu,”
22 nayo nchi itajibu kwa nafaka,
23 Nitampanda katika nchi kwa ajili yangu mwenyewe;