1 Maono ya Obadia.
2 “Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa,
3 Kiburi cha moyo wako kimekudanganya,
4 Ingawa unapaa juu kama tai
5 “Ikiwa wevi wangekuja kwako,
6 Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa,
7 Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani,
8 “Katika siku hiyo,” asema Bwana,
9 Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu,
10 Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo,
11 Siku ile ulisimama mbali ukiangalia
12 Usingemdharau ndugu yako
13 Usingeingia katika malango ya watu wangu
14 Usingengoja kwenye njia panda
15 “Siku ya Bwana iko karibu
16 Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu,
17 Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo
18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,
19 Watu kutoka nchi ya Negebu
20 Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani
21 Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni