Números 24

SWHONEN

1 Basi Balaamu alipoona imempendeza Bwana kubariki Israeli, hakuendelea tena kutafuta uchawi kama nyakati nyingine, bali aligeuza uso wake kuelekea nyikani.

2 Balaamu alipotazama nje na kuona Israeli amepiga kambi kabila kwa kabila, Roho wa Mungu akawa juu yake,

3 naye akatoa ujumbe wake:

4 ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu,

5 “Tazama jinsi yalivyo mazuri mahema yako, ee Yakobo,

6 “Kama mabonde, yanaenea,

7 Maji yatatiririka kutoka ndoo zake;

8 “Mungu alimleta kutoka Misri;

9 Hujikunyata na kuvizia kama simba,

10 Ndipo hasira ya Balaki ikawaka dhidi ya Balaamu. Akapiga mikono yake pamoja, akamwambia Balaamu, “Nilikuita uje kuwalaani adui zangu, lakini umewabariki mara hizi tatu.

11 Sasa ondoka upesi uende nyumbani! Mimi nilisema nitakuzawadia vizuri sana, lakini Bwana amekuzuia usizawadiwe.”

12 Balaamu akamwambia Balaki, “Je, hukumbuki jinsi nilivyowaambia wajumbe uliowatuma kwangu? Niliwaambia hivi,

13 ‘Hata ikiwa Balaki angenipa jumba lake la kifalme likiwa limejazwa fedha na dhahabu, nisingeweza kufanya kitu chochote kwa matakwa yangu, kikiwa kizuri au kibaya, kwenda kinyume na agizo la Bwana, nami imenipasa kusema tu kile Bwana atakachosema’?

14 Sasa ninarudi kwa watu wangu. Lakini njoo, nikuonye kuhusu kile watu hawa watakachowatenda watu wako siku zijazo.”

15 Kisha Balaamu akatoa ujumbe wake:

16 ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu,

17 “Namwona yeye, lakini si sasa;

18 Edomu itamilikiwa,

19 Mtawala atakuja kutoka kwa Yakobo

20 Kisha Balaamu akawaona watu wa Amaleki, na kutoa ujumbe wake:

21 Kisha akawaona Wakeni, akatoa ujumbe wake:

22 Hata hivyo ninyi Wakeni mtaangamizwa

23 Ndipo akatoa ujumbe wake:

24 Meli zitakuja kutoka pwani za Kitimu,

25 Kisha Balaamu akainuka na kurudi nyumbani kwake, naye Balaki akashika njia yake.

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado