1 Kisha nikasema,
2 ninyi mnaochukia mema
3 ninyi mnaokula nyama ya watu wangu,
4 Kisha watamlilia Bwana,
5 Hili ndilo asemalo Bwana:
6 Kwa hiyo usiku utawajieni, msiweze kuwa na maono,
7 Waonaji wataaibika
8 Lakini kuhusu mimi, nimejazwa nguvu,
9 Sikieni hili, enyi viongozi wa nyumba ya Yakobo,
10 mnaojenga Sayuni kwa kumwaga damu
11 Viongozi wake wanahukumu kwa rushwa,
12 Kwa hiyo kwa sababu yenu,