Miquéias 1

SWHONEN

1 Neno la Bwana lilimjia Mika, Mmoreshethi, wakati wa utawala wa Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda; ufunuo aliouona kuhusu Samaria na Yerusalemu.

2 Sikieni, enyi mataifa, enyi nyote,

3 Tazama! Bwana anakuja kutoka mahali pake;

4 Milima inayeyuka chini yake

5 Yote haya ni kwa sababu ya kosa la Yakobo,

6 “Kwa hiyo nitaufanya Samaria kuwa lundo la kokoto,

7 Sanamu zake zote

8 Kwa ajili ya hili nitalia na kuomboleza;

9 Kwa sababu jeraha lake halitibiki;

10 Usiliseme hili huko Gathi;

11 Piteni mkiwa uchi na wenye aibu,

12 Wale waishio Marothi wanagaagaa kwa maumivu

13 Enyi mkaao Lakishi,

14 Kwa hiyo utaipa Moresheth-Gathi

15 Nitawaleteeni atakayewashinda

16 Nyoeni nywele zenu katika kuomboleza

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado