1 Neno la Bwana lilimjia Mika, Mmoreshethi, wakati wa utawala wa Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda; ufunuo aliouona kuhusu Samaria na Yerusalemu.
2 Sikieni, enyi mataifa, enyi nyote,
3 Tazama! Bwana anakuja kutoka mahali pake;
4 Milima inayeyuka chini yake
5 Yote haya ni kwa sababu ya kosa la Yakobo,
6 “Kwa hiyo nitaufanya Samaria kuwa lundo la kokoto,
7 Sanamu zake zote
8 Kwa ajili ya hili nitalia na kuomboleza;
9 Kwa sababu jeraha lake halitibiki;
10 Usiliseme hili huko Gathi;
11 Piteni mkiwa uchi na wenye aibu,
12 Wale waishio Marothi wanagaagaa kwa maumivu
13 Enyi mkaao Lakishi,
14 Kwa hiyo utaipa Moresheth-Gathi
15 Nitawaleteeni atakayewashinda
16 Nyoeni nywele zenu katika kuomboleza