Lamentações 3

SWHONEN

1 Mimi ndiye mtu aliyeona mateso

2 Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee

3 hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu

4 Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa

5 Amenizingira na kunizunguka

6 Amenifanya niishi gizani

7 Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka,

8 Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada,

9 Ameizuia njia yangu kwa mapande ya mawe,

10 Kama dubu aviziaye,

11 ameniburuta kutoka njia,

12 Amevuta upinde wake

13 Alinichoma moyo wangu kwa mishale

14 Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote,

15 Amenijaza kwa majani machungu

16 Amevunja meno yangu kwa changarawe,

17 Amani yangu imeondolewa,

18 Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka

19 Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu,

20 Ninayakumbuka vyema,

21 Hata hivyo najikumbusha neno hili

22 Kwa sababu ya upendo mkuu wa Bwana, hatuangamii,

23 Ni mpya kila asubuhi,

24 Nimeiambia nafsi yangu, “Bwana ni fungu langu,

25 Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,

26 ni vyema kungojea kwa utulivu

27 Ni vyema mtu kuchukua nira

28 Na akae peke yake awe kimya,

29 Na azike uso wake mavumbini

30 Na atoe shavu lake kwa yule ampigaye,

31 Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali

32 Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma,

33 Kwa maana hapendi kuwaletea mateso

34 Kuwaponda chini ya nyayo

35 Kumnyima mtu haki zake

36 kumnyima mtu haki:

37 Nani awezaye kusema nalo likatendeka

38 Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana

39 Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika

40 Tuzichunguze njia zetu na kuzijaribu,

41 Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu

42 “Tumetenda dhambi na kuasi

43 “Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia;

44 Unajifunika mwenyewe kwa wingu,

45 Umetufanya takataka na uchafu

46 “Adui zetu wote wamefumbua vinywa vyao

47 Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula,

48 Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu,

49 Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma,

50 hadi Bwana atazame chini

51 Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini

52 Wale waliokuwa adui zangu bila sababu

53 Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo

54 maji yalifunika juu ya kichwa changu,

55 Nililiitia jina lako, Ee Bwana,

56 Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako

57 Ulikuja karibu nilipokuita,

58 Ee Bwana, ulichukua shauri langu,

59 Umeona, Ee Bwana, ubaya niliotendewa.

60 Umeona kina cha kisasi chao,

61 Ee Bwana, umesikia matukano yao,

62 kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikia

63 Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama,

64 Uwalipe kile wanachostahili, Ee Bwana,

65 Weka pazia juu ya mioyo yao,

66 Wafuatilie katika hasira na uwaangamize

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado