1 Mimi ndiye mtu aliyeona mateso
2 Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee
3 hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu
4 Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa
5 Amenizingira na kunizunguka
6 Amenifanya niishi gizani
7 Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka,
8 Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada,
9 Ameizuia njia yangu kwa mapande ya mawe,
10 Kama dubu aviziaye,
11 ameniburuta kutoka njia,
12 Amevuta upinde wake
13 Alinichoma moyo wangu kwa mishale
14 Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote,
15 Amenijaza kwa majani machungu
16 Amevunja meno yangu kwa changarawe,
17 Amani yangu imeondolewa,
18 Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka
19 Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu,
20 Ninayakumbuka vyema,
21 Hata hivyo najikumbusha neno hili
22 Kwa sababu ya upendo mkuu wa Bwana, hatuangamii,
23 Ni mpya kila asubuhi,
24 Nimeiambia nafsi yangu, “Bwana ni fungu langu,
25 Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,
26 ni vyema kungojea kwa utulivu
27 Ni vyema mtu kuchukua nira
28 Na akae peke yake awe kimya,
29 Na azike uso wake mavumbini
30 Na atoe shavu lake kwa yule ampigaye,
31 Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali
32 Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma,
33 Kwa maana hapendi kuwaletea mateso
34 Kuwaponda chini ya nyayo
35 Kumnyima mtu haki zake
36 kumnyima mtu haki:
37 Nani awezaye kusema nalo likatendeka
38 Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana
39 Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika
40 Tuzichunguze njia zetu na kuzijaribu,
41 Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu
42 “Tumetenda dhambi na kuasi
43 “Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia;
44 Unajifunika mwenyewe kwa wingu,
45 Umetufanya takataka na uchafu
46 “Adui zetu wote wamefumbua vinywa vyao
47 Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula,
48 Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu,
49 Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma,
50 hadi Bwana atazame chini
51 Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini
52 Wale waliokuwa adui zangu bila sababu
53 Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo
54 maji yalifunika juu ya kichwa changu,
55 Nililiitia jina lako, Ee Bwana,
56 Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako
57 Ulikuja karibu nilipokuita,
58 Ee Bwana, ulichukua shauri langu,
59 Umeona, Ee Bwana, ubaya niliotendewa.
60 Umeona kina cha kisasi chao,
61 Ee Bwana, umesikia matukano yao,
62 kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikia
63 Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama,
64 Uwalipe kile wanachostahili, Ee Bwana,
65 Weka pazia juu ya mioyo yao,
66 Wafuatilie katika hasira na uwaangamize