1 Ndipo Debora na Baraka mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:
2 “Wakuu katika Israeli wanapoongoza,
3 “Sikieni hili, enyi wafalme!
4 “Ee Bwana, ulipotoka katika Seiri,
5 Milima ilitetemeka mbele za Bwana,
6 “Katika siku za Shamgari mwana wa Anathi,
7 Mashujaa walikoma katika Israeli,
8 Walipochagua miungu migeni,
9 Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli,
10 “Nanyi mpandao punda weupe,
11 juu ya sauti za waimbaji
12 ‘Amka, amka! Debora!
13 “Ndipo mabaki ya watu
14 Kutoka Efraimu wakaja watu, ambao chimbuko lao ni Amaleki;
15 Wakuu wa Isakari walikuwa pamoja na Debora;
16 Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya kondoo
17 Gileadi alikaa ngʼambo ya Yordani.
18 Watu wa Zabuloni walihatarisha maisha yao,
19 “Wafalme walikuja na kufanya vita;
20 Kutoka mbinguni nyota zilipigana,
21 Mto wa Kishoni uliwasomba,
22 Ndipo kwato za farasi zikafanya mshindo:
23 Malaika wa Bwana akasema, ‘Merozi alaaniwe.
24 “Yaeli abarikiwe kuliko wanawake wote,
25 Aliomba maji, naye akampa maziwa;
26 Akanyoosha mkono wake
27 Aliinama miguuni pa Yaeli,
28 “Kupitia dirishani mamaye Sisera alichungulia;
29 Wanawake wenye busara
30 ‘Je, hawapati na kugawanya nyara:
31 “Adui zako wote na waangamie, Ee Bwana!