1 Ikawa kuhani Pashuri mwana wa Imeri, mkuu wa maafisa wa Hekalu la Bwana, alipomsikia Yeremia akitoa unabii juu ya mambo haya,
2 akaamuru Yeremia nabii apigwe na kufungwa kwenye mkatale katika Lango la Juu la Benyamini huko Hekaluni la Bwana.
3 Siku ya pili Pashuri alipomwachia kutoka kwenye mkatale, Yeremia akamwambia, “Bwana hakukuita jina lako kuwa Pashuri bali Magor-Misabibu.
4 Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana: ‘Nitakufanya kuwa hofu kuu kwako wewe mwenyewe na rafiki zako wote, na kwa macho yako mwenyewe utawaona wakianguka kwa upanga wa adui zao. Nitawatia Yuda wote mikononi mwa mfalme wa Babeli, ambaye atawachukua na kuwapeleka Babeli, ama awaue kwa upanga.
5 Nitatia utajiri wote wa mji huu kwa adui zao: yaani mazao yao yote, vitu vyao vyote vya thamani, na hazina zote za wafalme wa Yuda. Watavitwaa kwa nyara na kuvipeleka Babeli.
6 Nawe Pashuri pamoja na wote waishio katika nyumba yako mtakwenda uhamishoni Babeli. Mtafia humo na kuzikwa, wewe na rafiki zako wote ambao umewatabiria uongo.’ ”
7 Ee Bwana, umenidanganya,
8 Kila ninenapo, ninapiga kelele
9 Lakini kama nikisema, “Sitamtaja
10 Ninasikia minongʼono mingi,
11 Lakini Bwana yu pamoja nami
12 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,
13 Mwimbieni Bwana!
14 Ilaaniwe siku niliyozaliwa!
15 Alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari,
16 Mtu huyo na awe kama miji ile
17 Kwa sababu hakuniua nikiwa tumboni,
18 Kwa nini basi nilitoka tumboni