Jeremias 14

SWHONEN

1 Hili ndilo neno la Bwana kwa Yeremia kuhusu ukame:

2 “Yuda anaomboleza,

3 Wakuu wanawatuma watumishi wao maji;

4 Ardhi imepasuka nyufa

5 Hata kulungu mashambani

6 Punda-mwitu wanasimama juu ya miinuko iliyo kame

7 Ingawa dhambi zetu zinashuhudia juu yetu,

8 Ee Tumaini la Israeli,

9 Mbona unakuwa kama mtu aliyeshtukizwa,

10 Hili ndilo Bwana asemalo kuhusu watu hawa:

11 Kisha Bwana akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa.

12 Ingawa wanafunga, sitasikiliza kilio chao; hata wakitoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za nafaka, sitazikubali. Badala yake, nitawaangamiza kwa upanga, njaa na tauni.”

13 Lakini nikasema, “Aa, Bwana Mwenyezi, manabii wanaendelea kuwaambia, ‘Hamtaona upanga wala kukabiliwa na njaa. Naam, nitawapa amani ya kudumu mahali hapa.’ ”

14 Ndipo Bwana akaniambia, “Manabii wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwatuma, wala sikuwaweka, wala sikusema nao. Wanawatabiria maono ya uongo, maaguzi, maono ya sanamu zisizofaa kitu, na madanganyo ya mawazo yao wenyewe.

15 Kwa hiyo, hili ndilo Bwana asemalo kuhusu manabii wanaotabiri kwa jina langu: Mimi sikuwatuma, lakini wanasema, ‘Hakuna upanga wala njaa itakayoigusa nchi hii.’ Manabii hao hao watakufa kwa upanga na njaa.

16 Nao watu hao wanaowatabiria watatupwa nje katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga. Hapatakuwepo yeyote wa kuwazika wao au wake zao, wana wao au binti zao. Nitawamwagia maafa wanayostahili.

17 “Nena nao neno hili:

18 Kama nikienda mashambani,

19 Je, umemkataa Yuda kabisa?

20 Ee Bwana, tunatambua uovu wetu

21 Kwa ajili ya jina lako usituchukie kabisa;

22 Je, kuna sanamu yoyote isiyofaa kitu ya mataifa

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado