1 Wewe daima u mwenye haki, Ee Bwana,
2 Umewapanda, nao wameota,
3 Hata hivyo unanijua mimi, Ee Bwana;
4 Je, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza mpaka lini,
5 “Ikiwa umeshindana mbio na watu kwa mguu na wakakushinda,
6 Ndugu zako, watu wa jamaa yako mwenyewe:
7 “Nitaiacha nyumba yangu,
8 Urithi wangu umekuwa kwangu
9 Je, urithi wangu haukuwa
10 Wachungaji wengi wataliharibu shamba langu la mizabibu
11 Litafanywa kuwa jangwa,
12 Juu ya miinuko yote ilivyo kama jangwani
13 Watapanda ngano lakini watavuna miiba;
14 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa habari ya majirani zangu wote wabaya wanaonyangʼanya urithi ambao ninawapa watu wangu Israeli, nitawangʼoa kutoka nchi zao, nami nitaingʼoa nyumba ya Yuda kutoka katikati yao.
15 Lakini baada ya kuwangʼoa, nitawahurumia tena na kumrudisha kila mmoja wao kwenye urithi wake mwenyewe na kwenye nchi yake mwenyewe.
16 Ikiwa watajifunza vyema njia za watu wangu na kuapa kwa Jina langu, wakisema, ‘Hakika kama Bwana aishivyo,’ hata kama wakati fulani walifundisha watu wangu kuapa kwa Baali, ndipo watakapofanywa imara katikati ya watu wangu.
17 Lakini kama taifa lolote halitasikiliza na kutii, nitalingʼoa kabisa na kuliangamiza,” asema Bwana.