Jonas 2

SWHONEN

1 Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake.

2 Akasema:

3 Ulinitupa kwenye kilindi,

4 Nikasema, ‘Nimefukuziwa

5 Maji yaliyonimeza yalinitisha,

6 Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima,

7 “Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka,

8 “Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa

9 Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani,

10 Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado