1 Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake.
2 Akasema:
3 Ulinitupa kwenye kilindi,
4 Nikasema, ‘Nimefukuziwa
5 Maji yaliyonimeza yalinitisha,
6 Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima,
7 “Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka,
8 “Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa
9 Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani,
10 Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.