1 Hili ndilo asemalo Bwana:
2 Amebarikiwa mtu yule atendaye hili,
3 Usimwache mgeni aambatanaye na Bwana aseme,
4 Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana:
5 hao nitawapa ndani ya Hekalu langu na kuta zake
6 Wageni wanaoambatana na Bwana
7 hawa nitawaleta kwenye mlima wangu mtakatifu
8 Bwana Mwenyezi asema, yeye awakusanyaye
9 Njooni, enyi wanyama wote wa kondeni,
10 Walinzi wa Israeli ni vipofu,
11 Ni mbwa wenye tamaa kubwa,
12 Kila mmoja hulia, “Njooni, tupate mvinyo!